Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 856
- 989
GUYS MSAADA,
Kuna bi dada ameitwa kwenye usaili MWANZA.
Amesomea bee-keeping ngazi ya Diploma.
Alituma maombi kwa post ya BEEKEEPING ASSISTANT OFFICER.
ANAULIZA kama kuna mtu anayafahau maswali kwenye interview amsaidie apate mwanga kidgo. Wanaaza written wanamalizia Oral
Shushen maswali hapa
Kuna bi dada ameitwa kwenye usaili MWANZA.
Amesomea bee-keeping ngazi ya Diploma.
Alituma maombi kwa post ya BEEKEEPING ASSISTANT OFFICER.
ANAULIZA kama kuna mtu anayafahau maswali kwenye interview amsaidie apate mwanga kidgo. Wanaaza written wanamalizia Oral
Shushen maswali hapa