Jamani naomba kujua summary ya vitu vinavyohitajika ili kuomba mkopo loan board. Kuna vingine nina uhakika navyo lakini naomba kujua kama kuna kingine nimesahau.
- Cheti cha form 4
- Picha ya passport
- Cheti cha kuzaliwa
- Picha ya mdhamini
- Tsh. 30,000 (application fee)