Usilete ukabila baaana tufanye analysis za ukweli sote ni watanzania, hao new force ni wachina ukishaanza ukabila wengine wwtasema bora tupeleke hela kwa mkinga,mbena na mngoni aliyekumbuka kupeleka nagari kwao ili aendelee kutoa huduma kuliko mgeni anayeweza kuondoka magari yake muda wowote km walivyofanya wengine na kumwacha superfeo pekeyake maana ni mzawa