Young Gwahe
Member
- Sep 3, 2017
- 53
- 163
Habari bwana Jf nilikuwa naomba MSAADA wa gari nzuri na za haraka za kwenda mwanza. Asanteni Nawasilisha
Dar lux atalala njiani!! juzi nimekuja na basi la Kibo safaris tulikua wa kwanza kuingia dar..saa sita kamili tulikua dar..saa tatu kamili tulichungulia moro..Chukua Dar Lux
Za kwanza kufika huwa ni kisbo,kisesa, bus nyingi za bei ni nzuri kuanzia 45Habari bwana Jf nilikuwa naomba MSAADA wa gari nzuri na za haraka za kwenda mwanza. Asanteni Nawasilisha
Sorry,ally's walifungiwa root yao ya dar-mwanza vip wameanza tena safari?Panda allys sport saa tano kasoro unashuka nyegezi........basi mpya ya kisasa...
Ukishindwa kamata JM luxury ya musoma utashuka mwanza mapema...
Then ndio kapande spana mkononi kibo na kisbo utawahi pia lakini yanahekaheka kinyama.
KkkkkkkkkkkkUnategemea kusafiri lini? Kuna magari yaliyoleta ngombe mnadani yanarudi kesho na kesho kutwa. Hamna nauli ni koti lako tu.