Je feni ya laptop yako inafanya kazi? Kama sio, itakubidi uipeleke kwa fundi wakaibadilishe hiyo feni ama kuifanyia repair.Laptop yangu nikiiwasha inapata moto sana kisha inazima, sasa kwa anayefaham naomba anifahamishe tatizo ni kitu gan? aksanten sana , nawasilisha
Itakuwa na tatizo upande wa cooling system,kama umekuwa na tabia ya kuiweka kwenye godorom au sofa wakati unaitumia inaweza changia.Sema uko wapi vijana waje wakusaidie.Laptop yangu nikiiwasha inapata moto sana kisha inazima, sasa kwa anayefaham naomba anifahamishe tatizo ni kitu gan? aksanten sana , nawasilisha