msaada kwenye wi-fi

mankachara

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2013
Posts
6,161
Reaction score
3,495
habari za jioni wakuu, poleni na kazi, natumia samsung galaxy 5 (s5) tangu jana simu yangu imekumbwa na tatizo la kuwaka wi-fi automatic. naomba mnisaidie jinsi ya kuondoa hilo tatizo
 
jaribu kudownload 3rd party apps za kuZima wifi playstore wakati unatafuta tatizo limeanzia wapi. search wifi off playstore
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…