Sasa kwa mistake hiyo ndogo tu umeingia kwenye mlolongo mkubwa sana usiotarajia..kama umeclick course unpriority unaweza usipate mkopo,kama course ujaipenda transfer itakucost muda na pesa,
Mbona ktk list ya vyuo vyenye nafasi duce haipo ila mwaka huu competition ilikuwa kubwa mno mfano education ud walijaza watu zaidi ya 2800 na capacity haifiki 1200
second round ukishachagua ndo bac kabisa hurusiwi kubadili au kuchagua upya,kwa hyo we jiandae kufanya transfer au ukifika chuon ubadili kozi kama kuna kozi unayoitaka