Nisaidieni jamani.....natafuta kazi mpaka nachanganyikiwa.
Nina bachelor ya social science na experience ya mwaka mmoja (internship) katika program assistant- sera na utawala bora.
Msaada plzzzzzzzz
pole dada, cha muhimu usichague kazi, hata ukiitiwa kazi ya Usecretary usikatae bora uingie kwenye mtandao wa kazi na hapo ndipo utakapoweza kupata kazi uliyosomea
Nisaidieni jamani.....natafuta kazi mpaka nachanganyikiwa.Nina bachelor ya social science na experience ya mwaka mmoja (internship) katika program assistant- sera na utawala bora. Msaada plzzzzzzzz
Pole Dada! Lakini...! Kama huna kazi na unayo hiyo (sijui kizungu) bachelor si bora uiuze upate mtaji wa biashara!!? Na ubakiwe na hizo zingine social science na hiyo experience ya mwaka mmoja!!
Pole Dada! Lakini...! Kama huna kazi na unayo hiyo (sijui kizungu) bachelor si bora uiuze upate mtaji wa biashara!!? Na ubakiwe na hizo zingine social science na hiyo experience ya mwaka mmoja!!
Pole Dada! Lakini...! Kama huna kazi na unayo hiyo (sijui kizungu) bachelor si bora uiuze upate mtaji wa biashara!!? Na ubakiwe na hizo zingine social science na hiyo experience ya mwaka mmoja!!
Pole Dada! Lakini...! Kama huna kazi na unayo hiyo (sijui kizungu) bachelor si bora uiuze upate mtaji wa biashara!!? Na ubakiwe na hizo zingine social science na hiyo experience ya mwaka mmoja!!