Carbondioxide
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 733
- 195
hi memba?
memba wezangu nkitaka kudauloading apps kwa upande was play store INA loading muda mrefu ttzo nini?
natumi mtandao was vyoodakom.
hi memba?
memba wezangu nkitaka kudauloading apps kwa upande was play store INA loading muda mrefu ttzo nini?
natumi mtandao was vyoodakom.
hi memba?
memba wezangu nkitaka kudauloading apps kwa upande was play store INA loading muda mrefu ttzo nini?
natumi mtandao was vyoodakom.
Badilisha APN hyo weka internet
umemletea msamiati mpya kaka kwa uandishi wake wa memkwa huo unafikiri atakuelewa?
hi memba?
memba wezangu nkitaka kudauloading apps kwa upande was play store INA loading muda mrefu ttzo nini?
natumi mtandao was vyoodakom.
mkuu unatumia simu gani?
ww memkwa?
jifunze kuandika
Badilisha APN hyo weka internet
Admet 3G.
Badilisha APN hyo weka internet
umemletea msamiati mpya kaka kwa uandishi wake wa memkwa huo unafikiri atakuelewa?
Tatizo ni huo mtandao unaotumia..vyoodakom? Any way ngoja aje CHIEF MKWAWA atakusaidia
Mmh simu yako hiyo brand sio kitoto.
Embu nenda kwenye setting kisha angalia kama utaona neno Network and wireless, connection, au lolote kuhusu network...kisha lifungue na tafuta neno mobile network kisha fungua na nenda walipo andika acces point .ukifanikiwa kufika acces point niambie tuendelee.
App gani? Itakuwa ni eneo uliopo labda hakuna connection nzuri.