MSAADA KWENYE PHONE UNLOCKING

MSAADA KWENYE PHONE UNLOCKING

beal

Senior Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
114
Reaction score
60
Wadau nimeletewa simu na ndugu yangu kutoka marekani kwa trump, sasa cha kushangaza haisomi sim card za hapa kwetu, naombeni msaada jaman ktk hlo nafanyaje?
 
Simu gani, Model gani, marekani ilikua inatumia mtandao gan
Simu aina ya Motorola, model ni moto X, pia kuna lg model lg-p505, mtandao hajaniambia ni mtandao gn alikuwa akitumia.
 
Simu aina ya Motorola, model ni moto X, pia kuna lg model lg-p505, mtandao hajaniambia ni mtandao gn alikuwa akitumia.
Daaa hizo lock zinatoka ila sio cha bure kaka, Mimi nimeagiza falcon box ilaado haijafika solution Ni moja tu, Niambie upo wapi ili nikunganishe na fundi ninaemuamin aliepo mji huo.
 
Wadau nimeletewa simu na ndugu yangu kutoka marekani kwa trump, sasa cha kushangaza haisomi sim card za hapa kwetu, naombeni msaada jaman ktk hlo nafanyaje?

Peleka kwny maduka makubw ya ck wanai-swap shilling elf 20
 
habari ndugu zangu tafadhali naitaji msaada simu yangu aisomi sim card ya Halotel ila zingine zinasoma vizuri tatizo ni mini wakuu.?
 
hizo zinatoka kwa code kama uko tayari kuzitoa nicheki 0658484279
 
Back
Top Bottom