habari zenu wana jf,
naomba yeyote mwenye ujuzi hapa tafadhali.nina modem ya sasatel,ila nashindwa kuiunganisha kwenye mtandao,nimefanya procedure zote lakini nikiconect inaleta meseji kwamba ,
username and / password was invalid on the domain.
Pls mwenye utaalam hapa anijuze pls
asante