Msaada kwenye game la checkers elite for android.

Msaada kwenye game la checkers elite for android.

Zeddicus Zu'l Zorander

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2011
Posts
804
Reaction score
956
Checkers elite ni game la draft kwenye simu,ni game zuri sasa hasa online kwa sababu opponent ni wengi sana, wala hauhitaji kusubiri sana.
Shida ni kwamba unapewa energy level kumi kila siku, kila ukifungwa au kudroo wanapunguza energy level moja moja,zikiisha inabidi ununue.
Kero yake ni kwamba ukikimbia au ukipigiwa simu wanakata energy level tatu kwa mkupuo.
Naomba kama kuna mtu anayo cracked au anajua ujanja wa kupata more energy anisaidie, kwa sababu kununua premium complication nyingi.
 
Checkers elite ni game la draft kwenye simu,ni game zuri sasa hasa online kwa sababu opponent ni wengi sana, wala hauhitaji kusubiri sana.
Shida ni kwamba unapewa energy level kumi kila siku, kila ukifungwa au kudroo wanapunguza energy level moja moja,zikiisha inabidi ununue.
Kero yake ni kwamba ukikimbia au ukipigiwa simu wanakata energy level tatu kwa mkupuo.
Naomba kama kuna mtu anayo cracked au anajua ujanja wa kupata more energy anisaidie, kwa sababu kununua premium complication nyingi.



 
Checkers elite ni game la draft kwenye simu,ni game zuri sasa hasa online kwa sababu opponent ni wengi sana, wala hauhitaji kusubiri sana.
Shida ni kwamba unapewa energy level kumi kila siku, kila ukifungwa au kudroo wanapunguza energy level moja moja,zikiisha inabidi ununue.
Kero yake ni kwamba ukikimbia au ukipigiwa simu wanakata energy level tatu kwa mkupuo.
Naomba kama kuna mtu anayo cracked au anajua ujanja wa kupata more energy anisaidie, kwa sababu kununua premium complication nyingi.
Me swali langu n moja tu najua utakuwa mzoefu kidogo nchi gan tunalingana nao kwenye kucheza coz masuala ya kula mbele na nyuma me cmaindi
 
Back
Top Bottom