nguvila th' son
Member
- Sep 12, 2013
- 18
- 3
Habari wa ndugu, mtaani kwangu kuna binti mwenye tatizo la utindio wa ubongo Mlezi wake ambaye ni Bibi yake amefanya juhudi mbalimbali ili kuhakikisha kijana wake anapata elimu lakini anaishia kupata changamoto mbalimbali hivyo kwa yeyote mwenye msaada wa wowote hata wa kimawazo atusaidie ili mtoto huyu aweze kupata elimu kulingana na tatizo alilonalo.... Ombi kubwa la mlezi ni kupata ufadhili wa kielimu kwa mjukuu wake maana hali yake kiuchumi sio nzuri.
Aksante
mawasiliano 0769500050
Aksante
mawasiliano 0769500050