Hebu ingia kwa web yao they have analysed it clearly...
Kama upo udsm unaweza ukaenda 3weeks before opening date (sio lazima)
Kuhusu ile form ya kucheki afya,unashauriwa uidownload (sio lazima)
Hii ni dondoo tu lkn unaweza kuingia kwa web yao then usome vizuri