mashishanga
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 611
- 427
Ninaomba msaada kwa mwenye uzoefu au ambaye alishawah kuhamia chuo kingine inakuweje mana ikitokea chuo unachotaka kuhamia kinafungua tarehe Za mwez wa kumi na moja, afu chuo ulichokua umepangiwa mwanzon kinafungua wiki ijayo unafanyeje na nafas kwenye chuo unachotaka kuhamia ipo ila wao wa nafungua mwez wa kumi na moja, na tcu tangazo lao wamesema wanataka kuhama waandike barua kwenye vyuo wanavyotaka kuhamia afu mkuu wachuo unachotaka kuhamia anapeleka majina tcu kabla ya tarehe 18/11/16 afu tcu wanalikomfem jina lako kama tcu hawajavikubal viwango wangu hawawez kuruhusu uhamie hicho chuo, na ikifika tarehe 30/11/16 mkuu wa chuo unachoamia hajapeleka tcu jina lako huna chako, hivyo mwenye uzoefu alisemee hili kua je wakat nasubir confimation chuo nitakacho hamia, ninaenda kuripot chuo nilichochaguliwa mwanzon? Au inakuweje