Msaada kwa Moderm hii ya Voda

mfukoz

Member
Joined
Aug 11, 2011
Posts
35
Reaction score
4
Habari wana Jf,okay mimi nimenunua moderm​ ya voda,sasa nilichokuwa naomba kwa wataalamu ama wanaofahamu jinsi yakufanya ili uweze kutumia moderm hii kwa mitandao yote kwa maana nyingine jinsi ya kuchakachua hii moderminawezekana sio fair but mnisaidia kwa hilo tu nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…