Kiwanja kipo kwenye tambarale mkuuMleta Mada amefanya kuwe na Majibu tofauti, kwanza hajasema vipimo vya nyumba yake, pili hatutajua mlalo wa kiwanja chake, kama Kiko tambarale au kipo kwenye mwinuko.
Kwahiyo majibu mengi atakayopata hapa yatakuwa ni Makadirio zaidi kuliko Uhalisia.
Tofari 2500 ni nyumba kubwa.Mimi tofari 2700 nilipita vyumba 4,toilets 2,sebule kubwa na jiko.1. 4x2=8
2. 3.5x2=7
Jumla ya mzunguko ni 15m.
Note: 1m=tofali 2.
15x2=30 laini moja.
1 A. Msingi wa laini 7
7x30=210 hizi ni tofali za msingi.
1. B. Walling hadi kwenye lenta
30x laini 10=300.
Hivyo chumba kimoja kuanzia msingi hadi lenta ni tofali 510 tu.
Jitahidini kuheshimu taaluma.
Hayo makadirio ya chumba kimoja tofali 2500 ni upotoshaji mkubwa sana
Tofali za kuchoma hizoMakadirio ya standard room yaani 4m kwa 3.5m unatakiwa uwe na tofati kati ya 2000 hadi 2500.
Milioni kumi ijenge nyumba Kama hiyo utaniTofali 1500
Bati 90
Mbao 2*3 200
msingi mpaka kuezeka andaa 10m
Ila ongea na fundi akudesignie kuwepo na mlango wa nyuma
nyingi sana au kidogo sana ?Milioni kumi ijenge nyumba Kama hiyo utani
Mzee hizo ni tofali za nyumba y vyumba 3 yenye ukubwa wa vyumba hivyo amaMakadirio ya standard room yaani 4m kwa 3.5m unatakiwa uwe na tofati kati ya 2000 hadi 2500.
How mbn mimi tofal karibia elfu 4 ndo nikatoa chumba 3, sebule, jiko, stoo ndogo,toilets na kilibrary kidogo.Togari 2500 ni nyumba kubwa.Mimi tofari 2700 nilipita vyumba 4,toilets 2,sebule kubwa na jiko.
Mzee hizo ni tofali za nyumba y vyumba 3 yenye ukubwa wa vyumba hivyo ama
Ila hayatokuwa mbali na uhalisia.Mleta Mada amefanya kuwe na Majibu tofauti, kwanza hajasema vipimo vya nyumba yake, pili hatutajua mlalo wa kiwanja chake, kama Kiko tambarale au kipo kwenye mwinuko.
Kwahiyo majibu mengi atakayopata hapa yatakuwa ni Makadirio zaidi kuliko Uhalisia.
Nyumba ya huyo mwenzetu itakuwa ni fupi. Hizo tofali zake ni chacheHow mbn mimi tofal karibia elfu 4 ndo nikatoa chumba 3, sebule, jiko, stoo ndogo,toilets na kilibrary kidogo.
itakuwa alijenga kozi 9 alafu lenta juu kozi mbili au tatu.Nyumba ya huyo mwenzetu itakuwa ni fupi. Hizo tofali zake ni chache
Nilitumia tofali 2500 nyumba yenye ramani kama hiyo eneo lilikua tambarareHabari za mchana wakuu?
Ninaomba wenye uzoefu na maswala ya ujenzi mnisaidie hapa.
Kulingana na ramani hii, mpaka nyumba ikamilike inaweza kutumia tofali ngapi na bati ngapi?
Nawasilisha.View attachment 2390129