Msaada kwa hili

Msaada kwa hili

Hansy wa East

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
446
Reaction score
232
Wadau kunajambo naomba mnisaidie kama kuna ktu ana namba ya Gerald Hando wa clouds fm naomba anisaidie maana kunajambo la kimaendeleo nataka nimpe alifikishe kwa jamii ahsante!
 
Sidhani kama ni rahisi kuiweka hapa in public. Nenda kwenye web page yao au facebook page ya powerbreakfast utampata.
 
Wadau kunajambo naomba mnisaidie kama kuna ktu ana namba ya Gerald Hando wa clouds fm naomba anisaidie maana kunajambo la kimaendeleo nataka nimpe alifikishe kwa jamii ahsante!
ama kweli kuna watu yani namba ya mtu iwekwe hadharani jambo la kimaendeleo fikiri sana
 
ama kweli kuna watu yani namba ya mtu iwekwe hadharani jambo la kimaendeleo fikiri sana

unasema hvyo hujui tu huenda jambo lenyewe likawa na msaada kwako afu namba ninayotaka ata isipokuwa yake personal nataka hata ya ofisi kikubwa jambo langu lifike powerbrkfast.
 
Nenda ofic zao ziko mikocheni njia panda ya kwenda coca cola pale utapata msaada unaotaka
 
Back
Top Bottom