MSAADA KWA ATAKAE GUSWA

MSAADA KWA ATAKAE GUSWA

comrade JR

Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15
Reaction score
5
wanajamvi Heshima kwemu wote. Kulingana na changamoto za ajira
Naomba ambae anaweza kuwa na connection ya kazi anisaidie kwa pale atakapo GUSWA. Elimu yangu ni degree ya sheria, uzoefu miaka miwili kama legal officer trainee. qualification hiyo isiwe kikwazo cha kupata fursa nyingine nje ya field yang. Kwani saiv ulichokisomea sio lazima ukifanyie kazi hivyo nkiwa trained nafanya chochote. kikubwa ni kutokua jobless.. Nadhan wote tunaelewa changamoto zlivyo.. Kwa atakaeguswa kunisaidia. Nipo daresalaam, namba yang ni 0759657178. Mungu awabariki.. Nawasilisha
 
Hongera kwa kusoma vizuri
Nenda kwenye maofisi ya wanasheria, peleka application yako, nina hakika mmoja au wawili watakuajiri.
Hata kwenye ma banks pia!
Usiogope, jipe moyo na kuwa na imani kuu!
Mola akutangulie kwenye your endeavor!
 
Pole xna msaka tonge mwenzangu, Mtafutae hachoki na akichoka kashapata.
 
wanajamvi Heshima kwemu wote. Kulingana na changamoto za ajira
Naomba ambae anaweza kuwa na connection ya kazi anisaidie kwa pale atakapo GUSWA. Elimu yangu ni degree ya sheria, uzoefu miaka miwili kama legal officer trainee. qualification hiyo isiwe kikwazo cha kupata fursa nyingine nje ya field yang. Kwani saiv ulichokisomea sio lazima ukifanyie kazi hivyo nkiwa trained nafanya chochote. kikubwa ni kutokua jobless.. Nadhan wote tunaelewa changamoto zlivyo.. Kwa atakaeguswa kunisaidia. Nipo daresalaam, namba yang ni 0759657178. Mungu awabariki.. Nawasilisha
pole sana i understand how you feel
 
Niwazo zuri ilo mkuu lakini sawa kwa sisi ambao ni junior lawyers inakua ngum sana. Kwasababu naitaji nkae na seniors kwanza. ndo kdogo unaweza fanya ivo
Kwa sababu kwa experience ya miaka miwili tu bado sana kwenye filed kufka hatua yakufungua ofisi
 
Back
Top Bottom