Abercrombie13
Member
- Jul 14, 2018
- 65
- 119
Habarini wakuu.
Majuma Kadhaa yaliyopita niliona post ya nafasi za ajira kutoka GLASER HEPATITIS B HEALTHCARE INITIATIVES (GHHI), katika page moja inayohusiana na mtangazo ya ajira.
Nilitembelea kwenye page yao (GHHI) nikaona nafasi walizotoa na nikafanikiwa kuomba. Leo jioni wamenitumia email ya kunihtaji kujaza fomu waliyonitumia "NEW STAFFF ENTRY ASSESSMENT FORM".
Pia wakinitaka nifanye IQ Test nijaze kwenye hiyo form. Sasa changamoto inakuja kwenye hiyo IQ test wanahitaji pesa. Sasa linapokuja suala la kutoa pesa wakati wa kuomba ajira linanipa machungu na kunikumbusha yaliyopita. Naomba msaada Kwa yeyote anaelijua hili shirika kama wako real au scam, Nisije nikajaa kwenye mtego.
Naambatanisha na picha ya email pamoja na link ya website Yao.
View attachment 2674556
Majuma Kadhaa yaliyopita niliona post ya nafasi za ajira kutoka GLASER HEPATITIS B HEALTHCARE INITIATIVES (GHHI), katika page moja inayohusiana na mtangazo ya ajira.
Nilitembelea kwenye page yao (GHHI) nikaona nafasi walizotoa na nikafanikiwa kuomba. Leo jioni wamenitumia email ya kunihtaji kujaza fomu waliyonitumia "NEW STAFFF ENTRY ASSESSMENT FORM".
Pia wakinitaka nifanye IQ Test nijaze kwenye hiyo form. Sasa changamoto inakuja kwenye hiyo IQ test wanahitaji pesa. Sasa linapokuja suala la kutoa pesa wakati wa kuomba ajira linanipa machungu na kunikumbusha yaliyopita. Naomba msaada Kwa yeyote anaelijua hili shirika kama wako real au scam, Nisije nikajaa kwenye mtego.
Naambatanisha na picha ya email pamoja na link ya website Yao.
