Msaada kuzuia mimba baada ya sex

Msaada kuzuia mimba baada ya sex

kamnunulie postinor 2 anywe na ukijifanya mjuaji ukamwaga tena ni mimba bila mjadala
 
cesilia postinor 2 ndo inauzwaje halafu ina maana ni kama unafanya abortion vile si ndio???
 
Unapofanya ngono utarajie na mimba pia,na kama mimba hutaki acha ngono had I hapo utakapokuwa tayari kwa mimba
 
Wakuu kwani mimba inashikwaje hebu mnipe lecture tafadhali?
Au kwa maana nyingine mimba hutungwa au hushika siku ya ngapi ya mzunguko Wa mwanamke
 
Mkuu ila ukijua namna ambavyo mwenzio mzunguko wake unavyoenda wala hutaogopa kufanya sex
Cha msingi hapa tuelimishwe na wataalamu juu ya namna mwanamke anashikaje mimba
Au ni siku zipi za mzunguko wa mwanamke ni hatari kukutana nae kimwili basi
 
ECP (emergency contraceptive pills)

ni dawa ambazo zina combination ya estrogen na progesterone kwa jina lingine zinaitwa COC.(madukan utazikuta kwa jina la flex.p).

dawa hiz znaweza kuzuia utungaji wa mimba ndan ya 120hrs after unsafe sex.

dose: ameze vidoge vinne baada ya masaa 12 arudie tena bas inatosha.

efectiveness yake ni 98%.

haya kaz kwako kum/jisaidia lakin isiwe mazoea.

cc.dr.Theobard Mathias Rwiza

Kaka sina uhakika sana but i would recommend p2 naona kama hii dozi yako ni kubwa sana.... inamaana vidonge 8 in 24hrs....

Kumbuka vidonge hivi bdo vina madhara kwetu sisi wanawake
 
Nimefanya mapenz leo mpira ukapasuka nina hofu asije pata ujauzito bado hatujajipanga naomba kujua nifanyeje kuzuia hiki kitu

Pole sana lakini usiwe na hofu inaweza kumtokea mtu yeyote yule.
Njia ya kuzuia mimba ziko mbili.

1) kama umefanya mapenzi ndani ya masaa 72 basi unaweza kutumia njia ya kuzuia yai lisitoke, na kama lilikua limeshatoka wakati unafanya mapenzi basi lisikutane na mbegu ya kiume.(Yai huishi masaa 24 tu baada ya kutoka) Njia hii hutumia dozi kubwa ya homoni za kike kuzuia mimba,nayo ni;

kutumia Emergency contraceptive pills ambazo zinapatikana pharmacy kubwa mjini. Zina bei kiasi unaweza kuuziwa kati ya elfu nane mpaka ishrini.Utapewa maelekezo ya jinsi ya kutumia na pharmacist.

Lakini pia unaweza kutumia vidonge vya uzazi wa mpango ambao hupatikana pharmacy zote za mjini na vijijini. Bei ni nafuu sana ukilinganisha na zile ready made za Emergency Contraceptive ila dozi ni ngumu kukupa maana hizi dawa zinatofautiana - kwa kifupi unaweza kunywa vidonge vitatu au vinne (inategemea) muda huo huo utakaoipata alafu baada ya masaa ishrini na nne. Inaweza kukuleta kichefu chefu na hata kutapika kutoka na wingi wa hizo homoni. Haina madhara maana si unatumia kwa kipindi hiki tu cha bahati mbaya- yaani ndo isiwe mchezo wako wa kila siku kunywa dawa za homoni nyingi...siku nyingine tumia dawa na dozi ya kawaida ya uzazi wa mpango.

*Angalizo kwa COC kama hiyo nilioeka kwa picha,changua vidonge kutoka mistari mitatu ya mwanzo ya pakiti na sio ule mstari wa mwisho ambao vidonge vyake havina homoni mbali vina sukari au dawa ya kuongeza damu.

2) Ndani ya siku tano baada ya kufanya mapenzi unaweza kwenda hospitalini wakueka Intra uterine contraceptive device kwenye mfuko wa uzazi...nisaidieni jina la kiswahili nimesahau kidogo. Hizi IUCD huzuia mimba iliotungwa isiji attach na kuta za nyumba ya uzazi...

Nitatoa somo Instagram...Nifollow kwa account @ daktari_sundae
 
Nimefanya mapenz leo mpira ukapasuka nina hofu asije pata ujauzito bado hatujajipanga naomba kujua nifanyeje kuzuia hiki kitu

Shost ngoja kwanza ujue kama una uwezo wa kubeba mimba then utatoa tuu kwan shi ngap bhaaana
 
Vidonge hivyo vyote vilivyotajwa ni vya kweli ila visitumike tu kila wakati, tunahitaji kujilinda kwa kutumia njia za uzazi wa mpango na hasa za muda mrefu ambazo ni non hormonial
 
Iv jamani nimesex leo nikatumia hivyo vidonge siku inayofuata nalikuwa siku ya hatari je hiyo dawa itasaidia
 
Back
Top Bottom