Msaada kutrack iPhone iliyoibiwa

nakushauri karipoti police, utaipata mara moja kuna kitengo cha intelijensia watakusaidia, hulipi hata senti tano na simu unaipata ndani ya masaa 6, watu wa huku mtandaoni wanakudanganya museee. kila la kheri bossπŸ˜±πŸ˜±πŸ˜›πŸ˜›
Hapa bila cent bas utaiskia kweny bomba tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…