Msaada: Kutotolesha Mayai ya Kuchi Nifanyeje?

Msaada: Kutotolesha Mayai ya Kuchi Nifanyeje?

Kamanda Kazi

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2012
Posts
2,613
Reaction score
798
Nimejaribu kuwawekea kuku wa aina nyingine mayai ya kuku kuchi lakini hayatotolewi. Nikanunua kitotoleshi (Incubator) napo mayai hayakukutotoleshwa. Msaada wa elimu... nifanyeje?
 
Back
Top Bottom