

Tunasubiri hizo ajira Mkuu achia tu hiyo kazi tumesota sana kitaa nasi tunazitaka sana hixo.Na mimi nimepoteza jamani sijui itakuwaje
Cha kwanza nenda polisi ukachukue RB alaf then nenda necta watakupa maelekezo zaid sana sana utaambiwa ukafungue tangazo katka gazeti la serikalNaomba kuuliza process za kufuata kwa mtu aliyopoteza cheti cha elimu ya secondary(necta).
Natanguliza shukrani...
Wanazuga vyeti vimepotea ili wasitumbuliwe nn?Mm nashangaa sana hawa watu, inakuaje cheti changu kipotee halafu niendelee kula bata tu mpaka pale msako unapotokea ndio ninashituka kukitafuta. Haiwezekani hapa kuna mchezo mchafu unaondelea.
