Za usiku wandug mim mwenzen Leo nimeenda zahanati kutkna na kuharisha sana Jana, sasa ktk kupima malaria, mkojo, na choo, majibu
Nimeambiwa Nina UTI na malaria ila kias au kiwango gan hapana na hiyo kujua tu ninachoumwa, mpk nimemuuliza Dr baada ya kuona anatiririka kuandik orodha ya dawa bila maelezo
Anyway nisiwachoshe sana ndo zahanat zetu, msaada tu wa kusomewa majibu hasa hapo kwenye malaria ni ngap? Asanten
Nimeambiwa Nina UTI na malaria ila kias au kiwango gan hapana na hiyo kujua tu ninachoumwa, mpk nimemuuliza Dr baada ya kuona anatiririka kuandik orodha ya dawa bila maelezo
Anyway nisiwachoshe sana ndo zahanat zetu, msaada tu wa kusomewa majibu hasa hapo kwenye malaria ni ngap? Asanten