Msaada kuhusu Ufugaji wa Kuku Chotara

Msaada kuhusu Ufugaji wa Kuku Chotara

christmas

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2011
Posts
2,701
Reaction score
1,280
Wakuu,

Naomba mnijuze kwa mnavyofahamu kuku chotara maana huwa nasikia tu ila sijawahi kuwaona.Naomba msaada juu ya ufugaji wake, chakula chake je wanakula chakula gani , utagaji wake, bei ya mayai yake kwa trei.
 
Naombeni u shauri na maelekezo mi nataka kufuga kuku wa mayai ambao ni chotara na kuku wa nyama kipi cha kuzingatia??eneo ninalo na mtaji ninao ila co mkubwa saaana kama 400000 c ninaweza anza na nimekubali kua risktaker
 
Back
Top Bottom