Msaada kuhusu Shahada ya Ufamasia

Msaada kuhusu Shahada ya Ufamasia

diuretic

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
355
Reaction score
618
Mimi ninasoma pcm advance ningependa kujua kama nitaweza kupata nafasi kusoma degree ya pharmacy chuo kikuu,mimi nilikua na malengo na pcb lakini nipo pcm kutokana na influence ya wazazi
 
Mimi ninasoma pcm advance ningependa kujua kama nitaweza kupata nafasi kusoma degree ya pharmacy chuo kikuu,mimi nilikua na malengo na pcb lakini nipo pcm kutokana na influence ya wazazi

Pole mkuu chuo kinachochukua wanafunzi wa pcm,pcb,cbg,cba,cbn kwa kozi ya ufamasia ni bugando peke yake vingne kwa pcm pharmacy hupati,my take kaza msuli upate one kali ndo utakuwa admitted pale bugando sababu wanataka 25 aplcnts out of them only 10 aplcnts with form six..!
 
Pole mkuu chuo kinachochukua wanafunzi wa pcm,pcb,cbg,cba,cbn kwa kozi ya ufamasia ni bugando peke yake vingne kwa pcm pharmacy hupati,my take kaza msuli upate one kali ndo utakuwa admitted pale bugando sababu wanataka 25 aplcnts out of them only 10 aplcnts with form six..!
Naomba kuuliza. Je nimemaliza diploma ya ufamasia. Ili niende degree niwe na vigezo gani?
 
Na pia nimepiga diploma mfano. Eti nikienda degree ni lazima kuwa na credit ya physics ili niendeLee?
 
Pole mkuu chuo kinachochukua wanafunzi wa pcm,pcb,cbg,cba,cbn kwa kozi ya ufamasia ni bugando peke yake vingne kwa pcm pharmacy hupati,my take kaza msuli upate one kali ndo utakuwa admitted pale bugando sababu wanataka 25 aplcnts out of them only 10 aplcnts with form six..!
Kwa Sasa vigezo vyuo vyote ni sawa, PCB ndio habari ya mjini kwa Program za afya
 
Mimi ninasoma pcm advance ningependa kujua kama nitaweza kupata nafasi kusoma degree ya pharmacy chuo kikuu,mimi nilikua na malengo na pcb lakini nipo pcm kutokana na influence ya wazazi
Pharmacy ni for PCB tu
 
Back
Top Bottom