nakwambia hujachaguliwa kwasababu ukichaguliwa lazima kwenye profile yako ionyeshe mambo yafuatayo:1applcant name(jina lako),2gender(jinsia),3user name(namba ya mtihani form four),4chuo ulichochaguliwa na 5kozi uliyochaguliwa,sasa je umeyaona yote hayo????