Mimi ni mhitimu wa degree ya uhasibu,kutoka na ugumu wa maisha ya mtaani nimeamua kusoma PGDE mwaka huu,hivi ajira huwa ni za moja kwa moja serikalini?
Ndio huwa ni za moja kwa moja miaka yote,lkn kwa tukio la mwaka kukawa na tetes kuwa walimu wataanza kuomba kazi kama watu wengine,ndo wadau wanasubir bunge jipya litoe tamko kuhusu tetesi hizo
pia naomba ushauri,ipi bora kusoma diploma ya ualimu
unapata mkopo kuliko postgradu,,pia naona kaama ajira ya diploma inaonekana ni ya uhakika kwa masomo ya sayansi kuliko postgradu,,niko njia panda nifanyaje,,maana ada nayo ni kubwa,na diploma nayo miaka mingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.