Nilitumiwa email from open university kwamba wamenichagua kujiunga hapo ila wakasema ni provision letter na majina wao mpka sasa hawajatoa nifanyaje wadau ??
Mkuu msaada please...hivi na students direct cost inajumuishwa kwenye malipo ukiachana na ada? Open university View attachment 605018pls see attachment
Student direct cost haijumuishwi kwenye ada hizo ni cost za mwanafunzi mwenyewe. Ikiwa kuna mtu anamfadhili huo ni mwongozo wa gharama za mwanafunzi mwenyewe
Student direct cost haijumuishwi kwenye ada hizo ni cost za mwanafunzi mwenyewe. Ikiwa kuna mtu anamfadhili huo ni mwongozo wa gharama za mwanafunzi mwenyewe
Nimechaguliwa diploma in distance education and open learning lakini sijapata admission letter na hata tawi lililokaribu yangu wanasema haipo lakini nina reg. No msaada wako plz