Msaada kuhusu mwenge university

ASSISANT

Member
Joined
May 6, 2015
Posts
37
Reaction score
17
Nauliza kama kuna mtu anayeelewa vizuri mazingira ya hapo au aliye hapo anijuze.
Moja, naomba kujua kuhusu location hicho chuo kipo sehemu gani hapo Dar.

Mbili, naomba kujua kuhusu gharama za maisha, kuishi hostels au kupanga gheto mtaani ipi ina afadhali kidogo. Itapendeza kama nitajua rates za hostel, na za mtaani kwa comparison.

Tatu, Kwa first year kuna uhakika wa kupata room hostel au ni kubahatisha.

Nne, kuhusu ada, ili mtu apokelewe anatakiwa aje na kiasi gani kwa kuanzia muhula wa kwanza (kwa mtu ambaye hana support ya loanboard).

ASANTENI
 
Kuna thread humu ina majibu ya maswali yako yote hayo 1.Chuo kipo Moshi-Killimanjaro na siyo Dar kama alivyotangulia kusema mkuu hapo juu 2.Hilo swali lako la pili sina uzoefu nalo kwa sababu mi siyo mzoefu wa hapo ni 1st year 2015/2016 3.1st year hostel uhakika upo ila ni kwa wale wanaotoka nje ya mkoa,wenye matatizo mbalimbali mfano.vilema unachotakiwa kufanya ni kuwahi tu kwa sababu hostel ni limited 4.Ili upokelewe kwanza unatakiwa uwe na administration fee ambayo ni laki tatu na 90 hyo ni kwa course zote hapo ndo utasajiliwa,kuhusu ada ni kwamba inalipwa nusu nusu kwa awamu mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…