Msaada kuhusu masomo ya kufundishia

Msaada kuhusu masomo ya kufundishia

AK48

Senior Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
149
Reaction score
38
Natanguliza shukrani za dhati..kuna mdogo wangu kapata c,c,c combination ya egm ameapply education tu.anaomba ushauri akichaguliwa akachague masomo yapi ya kufundishia mathematics and geography au mathematics and economics..kwa kuangalia umuhimu wa masomo husika hapo baadaye
 
Math na economic.

Geography ina walimu wengi hasa waliosoma HGK na HGL.

Pia kwa chuo kama UDSM unapangiwa masomo ya kufundishia sio unaenda kujichagulia mwenyewe.
 
Math na economic.

Geography ina walimu wengi hasa waliosoma HGK na HGL.

Pia kwa chuo kama UDSM unapangiwa masomo ya kufundishia sio unaenda kujichagulia mwenyewe.
even SUA unapangiwa nadhan karibu vyuo vingiii unapangiwa
 
Math na economic.

Geography ina walimu wengi hasa waliosoma HGK na HGL.

Pia kwa chuo kama UDSM unapangiwa masomo ya kufundishia sio unaenda kujichagulia mwenyewe.
Economics haina shule za kutosha. Maths ndiyo inahitajika zaidi. Lakini suala la masomo ya kufundishia huwa linapangwa na wizara yeye an agenda kusomea tu. Aombe apate posting aache ubaguzi wa masomo.
 
Economics haina shule za kutosha. Maths ndiyo inahitajika zaidi. Lakini suala la masomo ya kufundishia huwa linapangwa na wizara yeye an agenda kusomea tu. Aombe apate posting aache ubaguzi wa masomo.
Yeah ndio kikubwa hicho.
Kijana akapige kitabu tu.
 
Napigilia msumari kwa "kas" kwamba vyuo vng uxtegemee math & eco or math &geo kwa kias kkbwa ategemee geo & eco m pia ilbdi niache math jpo naipend xn
 
Back
Top Bottom