DANIEL MWITA
Senior Member
- Sep 16, 2012
- 118
- 42
Anayefahamu kuhusu asilimia ya riba ukiweka pesa m-pawa na hiyo riba inatolewa baada ya muda gani?anipm au anitxt kwny 0715-140001
Unatumia tigo 0715140001
Me nimeweka akiba zaidi ya mwez sasa na hakuna hata senti iliyoongezeka.