Msaada kuhusu loan board

kancarl

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
1,355
Reaction score
795
Je ni kweli kwamba loan board wakisha funga mahesabu yao ya mwaka mwanafunzi unae dai pesa ya kujikimu hutalipwa fedha zilizo salia katika mkopo wako kwa mwaka huo?
 
ni wababe tu,mbona kuna kuomba mkopo kwa mara ya pili kwa waliokosa(appeal)?
 
Je ni kweli kwamba loan board wakisha funga mahesabu yao ya mwaka mwanafunzi unae dai pesa ya kujikimu hutalipwa fedha zilizo salia katika mkopo wako kwa mwaka huo?
Sio kweli... japo kama unawadai utasota sana. Lakini kama ni mfuatiliaji na mvumilivu utaipata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…