Mkuu hebu elezea vizuri usaidiwe VP ulituma barua TCU na heslb kuwapa hizo taarifa au uliacha kiushikaji tu weweMimi nilipost pone masomo mwaka jana na nilifanikiwa kupata mkopo, na mwaka huu naresume masomo, naombeni msaada kujua je natakiwa kuomba tena mkopo au nafanyaje ili nisome kwa mkopo mwaka huu
Nilipost pone chuo tu, sikuhairisha mkopo ila sijausaini mkopoMkuu hebu elezea vizuri usaidiwe VP ulituma barua TCU na heslb kuwapa hizo taarifa au uliacha kiushikaji tu wewe
Sasa ndio ulifanya nini.Hapo bodi wanajua unaendelea kupokea na kama loan officer wenu sio muungwana anaweza kuwa ameifaidi hiyo pesaNilipost pone chuo tu, sikuhairisha mkopo ila sijausaini mkopo
Asante mkuu nitajitahd kuwafataKama ulifata hatua zote za chuo pia ulitakiwa kutoa taarifa loan board ili kisitisha mkopo wako kwan kama hukufanya HVO INA maana board waloendelea kuleta pesa chuo na na inawezekana baada yankugundua haupo wakaamua kisitisha WAP kwa nguvu.. HVO unatakiwa kifika mwwnge physically usaidiwe