msaada kuhusu kozi ya physiotherapy

msaada kuhusu kozi ya physiotherapy

issa mhina

Member
Joined
Aug 3, 2015
Posts
32
Reaction score
0
nimechaguliw diploma ya physiotherapy kcmc vp kwa upande. wa ajira ni chap mxaada please
 
Sijaelewa kitu hapa..kwani umechaguliwa bila kuomba? Mi nadhani hili swali lilitakiwa kuulizwa kabla hujaaply.
By the way,ajira kwa sasa zipo..kuhusu "chap" itategemea na uhitaji wake wakati utakapokuwa umemaliza chuo.
 
Kozi za afya zote ajira zipo,,, bado kuna demand kubwa ya watumishi wa afya,
Ukimaliza tuu mtapata post ya ajira ikiwemo ya physiotherapy.
 
Sijaelewa kitu hapa..kwani umechaguliwa bila kuomba? Mi nadhani hili swali lilitakiwa kuulizwa kabla hujaaply.
By the way,ajira kwa sasa zipo..kuhusu "chap" itategemea na uhitaji wake wakati utakapokuwa umemaliza chuo.

niliaply mkuu

y
 
Back
Top Bottom