Msaada kuhusu kipimo cha Colonoscopy

Aghakhan wako poa..
Mi nilifanyia hapo..
Dokta pia alisema inafaa mtu akizidi 40+ afanye
Kwa hiyo siku ulipoenda hospitali kwa ajili ya hicho kipimo, jamaa wakapitisha ule mrija.... shwaa! Na hapo siyo chini ya wiki mzima ulikuwa unashindia vyakula vya majimaji tu na kuendesha kwa sana.
 
Kwa hiyo siku ulipoenda hospitali kwa ajili ya hicho kipimo, jamaa wakapitisha ule mrija.... shwaa! Na hapo siyo chini ya wiki mzima ulikuwa unashindia vyakula vya majimaji tu na kuendesha kwa sana.
Mhhh sio kweli, ukimaliza process tumbo tu linasumbuasumbua kidogo kama masaa mawili hivi basi unakua sawa, wanasema sijui Ile gesi wanayotumia, kama umeumwa tumbo mda mrefu, mambo ya gerd,acid,ulcers,bawasiri nk better uende ukacheck...

Vitu vya kawaida mbona....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…