Ninaomba mtu anayejua kuhusu hili zao anipe details zote kuhusu ili zao kama misimu capital faida challenges na kama eneo la Ruvu linafaa kwa hiki kilimo, madawa n.k kwasababu ningependa kufanya hiki kilimo.
Ninaomba mtu anayejua kuhusu hili zao anipe details zote kuhusu ili zao kama misimu capital faida challenges na kama eneo la Ruvu linafaa kwa hiki kilimo, madawa n.k kwasababu ningependa kufanya hiki kilimo.
Kwani wewe unataka kulima pilipili aina gani? je unataka kulima pilipili hoho, pilipili kichaa, pilipili mbuzi au pilipili mtama !!! zote hizo kilimo chake kina mahitaji tofauti. Weka maelezo yako vizuri ili wataalamu wakusaidie !!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.