Si kweli, anajiunga tu. Ukiingiza AVN.namba kama GPA haijatimia mfumo. Unakuomba uingize namba ya cheti cha kozi ya foundation. Ipo usimkatishe mtu tamaa sema awe amefanya foundation kwa masomo ya Phys, Chem na Bios na kupata GPA ya 3 na kuendelea.
hapo umeona neno foundation??