Itakuwa hukubahatika tu ndugu yangu, maana binafsi niliomba wakanitumia maswali ya interview nikayajibu, baadaye wakanitumia nijaze form na nitume copy ya vyeti certified kwa ajila ya mkataba, lakini kwa sababu zangu binafsi sikuendelea nao, hivyo nadhani kunawatu watakuwa wameanza kazi!