Habari.....jana nilenda shule ambapo nilimalizia elimu yangu ya msingi kuchukua cheti changu.....nikaambiwa ili nikipate lazima nitoe kiasi cha sh 5000.....je hiyo ndo bei yake au vinatolewa bure??
duh..,huo mkoa gan mkuu,hcho cheti cha form six tu kinatolewa bure iwe hcho cha la saba?kinatolewa bure kabsa nenda na passport size mbili,wakikuzngua nenda serikali za mitaa ukatoe taarifa
duh..,huo mkoa gan mkuu,hcho
cheti cha form six tu kinatolewa bure iwe hcho cha la saba?kinatolewa
bure kabsa nenda na passport size mbili,wakikuzngua nenda serikali za
mitaa ukatoe taarifa
duh..,huo mkoa gan mkuu,hcho cheti cha form six tu kinatolewa bure iwe hcho cha la saba?kinatolewa bure kabsa nenda na passport size mbili,wakikuzngua nenda serikali za mitaa ukatoe taarifa
Havipo vimeenda wap? Ni wajibu wa shule kulhakikisha vyeti vipo teena havina majina unaenda na kuandikiwa na peni ujinga ni kiweka mpole katika kudai haki yako mkuu
hiyo buku tano ni storage fee/charge wanasema kama utachukua baada ya miaka miwili kumaliza shule ni bure lakini kama imepita zaidi ya miaka 2 wanakata gharama za kukutunzia, me walinikata hiyo buku tano nilipoenda kuchukua cha a level,nilimaliza 2006 nikaenda kuchukua 2013
Hakuna cha storage fee/ charge wala nini wahuni hao huo muongozo wameutoa wapi? Tuma jina la hiyo shule na mkoa ilipo nikurahisishie hiyo kazi na wote ambao vyeti vyao vimebaki hapo