Wakuu nataka kununua laptop yenye specifications zifuatazo.
Processor:core 2 duo
Hard disk: 128-320gb
Ram:2gb
Graphics card: 128-500mb
dvd writer,webcam,wi-fi,blueooth.
Sasa nilikua naomba ushauri ninue laptop ya kampuni gani/model gani yenye hizo specifications na yenye sifa za uimara, inaweza kupatika kwa bei gani.
Processor:core 2 duo
Hard disk: 128-320gb
Ram:2gb
Graphics card: 128-500mb
dvd writer,webcam,wi-fi,blueooth.
Sasa nilikua naomba ushauri ninue laptop ya kampuni gani/model gani yenye hizo specifications na yenye sifa za uimara, inaweza kupatika kwa bei gani.