Nilikuwa na account yangu ya Facebook nimeiunganisha na page yangu, kuna kupindi nikapoteza device niliyokuwa natumia hivyo nikasahau password yangu na hata namba niliyofungulia kwa usajiti wa account hiyo imeshapotea.
Nipo hapa jukwaani ili kuomba msada wa kurecover acc yangu kwa wabobezi wa IT na mtandao wanisaidie kwa hili jambo.
Nenda karenew hiyo namba uipate hiyo account yako. Kama namba umesajiliwa na mtu mwengine na hauna access nae basi sahau hiyo. Facebook watajua wewe ni hacker (Mwizi)
Nilikuwa na account yangu ya Facebook nimeiunganisha na page yangu, kuna kupindi nikapoteza device niliyokuwa natumia hivyo nikasahau password yangu na hata namba niliyofungulia kwa usajiti wa account hiyo imeshapotea.
Nipo hapa jukwaani ili kuomba msada wa kurecover acc yangu kwa wabobezi wa IT na mtandao wanisaidie kwa hili jambo.
Hata kama namba unayo haikubali,tena sasaivi wameweka kigezo hadi cha kuweka kitambulisho chako kama cha nida,pasipoti na wanataka majina na kitambulisho chako majina yaendane,bila ivyo ni kazi ngumu kurudisha akaunt yako
Sasaivi hawataki ufanye ivyo,wanataka uwe na kitambulisho cha nida ama pasipoti ili kurudisha akaunt yako,na ukiwatumia majibu unayapata baada ya masaa 24
Sasaivi hawataki ufanye ivyo,wanataka uwe na kitambulisho cha nida ama pasipoti ili kurudisha akaunt yako,na ukiwatumia majibu unayapata baada ya masaa 24
Hata kama namba unayo haikubali,tena sasaivi wameweka kigezo hadi cha kuweka kitambulisho chako kama cha nida,pasipoti na wanataka majina na kitambulisho chako majina yaendane,bila ivyo ni kazi ngumu kurudisha akaunt yako
Yaani ni shida sana.Ubaya mwengine kila unachoweka kinagoma na hawaoneshi ukomo wa matakwa yao.Hivyo kama hukukasirika ukaondoka unaweza ukakesha na kushindwa kufanya yako mengine.