Msaada: Ku unlock vodafone V 75

Msaada: Ku unlock vodafone V 75

BRO LEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2011
Posts
830
Reaction score
605
Naomba kuelekezwa namna ya ku UNLOCK VODAFONE V 75
Mtoto alichezea ikafungwa, ikawa inahitaji e mail, lakini nimejaribu kuingiza password imegoma, kuna ujumbe kwamba nakosea japo nikifungua kwa hii simu hiyo.e mail inafunguka.
 
je hiyo i phone 6 unataka ku unlock ili iingize line zaidi ya moja au ina i cloud.. kama ni i cloud hapo ni utata
 
Back
Top Bottom