Nimejaribu ku-unlock modem yangu ya airtel aina ya ZTE model MF190, nafuata process zote kwa kutumi dc-unlocker 2 client, lakini nikifika hatua ya mwisho inaniambia "no user name" "error code 63" msaada tafdhali wana IT.
Nimejaribu ku-unlock modem yangu ya airtel aina ya ZTE model MF190, nafuata process zote kwa kutumi dc-unlocker 2 client, lakini nikifika hatua ya mwisho inaniambia "no user name" "error code 63" msaada tafdhali wana IT.