Hiyo tayari imekula kwako unless kama unamjua aliyekuuzia akupe Apple ID na password zake, vinginevyo fikiria kuziuza kama spare.
Tahadhari: kama unanunua kifaa chochote cha Apple ambacho ni second handed hakikisha una reset hicho kifaa na kuingiza Apple ID yako au unafungua account yako kwenye hicho kifaa