kwa mujibu wa guide book ya nacte huwa wanaangalia D3 za phy chem bios, kama unachukua kozi za clinical medicine. english na b/maths ni ufaulu wa ziada hauna nguvu kwa hiyo kozi hapo niliyoitaja. kwa hiyo mtu akiomba clinical medicine.anaasilimia kubwa ya kupata, kama atakuwa anaufaulu wa D tatu na kuendelea.
kozi kama medical lab hii ndo huwa wanaangalia mpaka ufaulu wa somo la hesabu.unapaswa uwe na D ya hesabu.
me ndo nilivyoisoma na kuielewa guide book ya nacte 2015-2016