nirushie laki moja number angalia PMWakuu salam nyote.
Juzi kuna namba mpya imenirushia TZS 740000 bila maelezo yoyote kimakosa na mpaka sasa haijanipigia simu wala kampuni husika haijairudisha hela hiyo.
Ipo tu toka juzi nami naicheck tu ila leo nilijaribu kuchomoa kaelfu 50 nikanunua nyama kidogo na mahitaji mengine kwa ajili ya familia. Nataka nikakate kiu kidogo hata Lite baridiiiii 4 hivi maana leo ni weekend.
Namba yenyewe sijaipiga wala nini. Wote tumeuchuna.
Hii ni miujiza au bahati au chumaulete au masonic?
Sina deni wala simdai mtu wala sijafanya biashara na mtu kabisaaa. Kifupi simdai mtu.
Naombeni mwongozo
Daaaah...Kaka ni yakwangu hiyo naomba nirudishie nilituma kimakosa kaka, naomba nirudishie tafadhari Sana, kna mtu nlimtuma nikampa namba ili atume kwa jamaa angu nahisi alikosea namba , asante kwa wema wako, nirudishie kwa mamba hii 0764175188