naswa
Member
- Mar 13, 2014
- 38
- 1
Habari zenu jf naitaji ushauri wenu
Ugomvi wa baba na mama mtoto apaswi kuingilia ila inapotokea inakubidi tu nipo dar kimasomo ila wazazi wangu wanaishi moshi apa katibuni kumekuwa na migogoro ktk ndoa yao baada yaapo wakaita watu waka suluisha ila sasa baba amekuwa ni mtu wakulala nje kwa siku 3 au kila wiki naakirudi omu anapiga bimkubwa nakumwambia anamuendea kwa wagaga imefikia paka chakula kikipikwa omu mzee ali aya nimaelezo ya bimkubwa baada ya kunipigia cm coz me ndio mshauri wake wa mwisho nakuniambia anaishia nikabidi ni mwambie awe na subira kidogo nitampa jibu baada ya suku mbili sasa zimefika nashindwa kutoa solution nisaidieni.
Ugomvi wa baba na mama mtoto apaswi kuingilia ila inapotokea inakubidi tu nipo dar kimasomo ila wazazi wangu wanaishi moshi apa katibuni kumekuwa na migogoro ktk ndoa yao baada yaapo wakaita watu waka suluisha ila sasa baba amekuwa ni mtu wakulala nje kwa siku 3 au kila wiki naakirudi omu anapiga bimkubwa nakumwambia anamuendea kwa wagaga imefikia paka chakula kikipikwa omu mzee ali aya nimaelezo ya bimkubwa baada ya kunipigia cm coz me ndio mshauri wake wa mwisho nakuniambia anaishia nikabidi ni mwambie awe na subira kidogo nitampa jibu baada ya suku mbili sasa zimefika nashindwa kutoa solution nisaidieni.