Leo nimeenda kuanza clinic nimepima vipimo vyotee na kuchoma chanjo lakini huwa naskia ukianza clinic unapewa dawa za kuongeza damu mie sijapewa kitu nimepangiwa tu tarehe ya kurudi is it right au wamesahau mwenye experience naomba tushare
Leo nmeenda kuanza clinic nmepima vpimo vyotee na kuchoma chanjo lakn huwa naskia ukianza clinic unapewa dawa za kuongeza damu...mie sijapewa ktu mepangiwa tu tarehe ya kurudi is it right au wamesahau mwenye experience naomba tushare